MASHADA INC

Tuesday, June 11, 2013

HUU NDIO UJIO MPYA WA MBEYA ALL STARS

Baada ya kusumbua na wimbo wa Mbeya Nyumbani
na Salamu toka Mbeya huu ndio ujio mpya wa
Mbeya all starz, ambapo kwa sasa wataanza na Video
halafu itafata audio,Mpango mzima wa audio unafanyiwa ktk
studio mpya iitwayo G2G Records, chini ya Prodyuza Losso,
akishirikiana na Prodyuza Ahazi, japo kwa asilimia 90, mzigo
mzima unasimamiwa na Prodyuza Losso,

Pia wasanii wanahitaji ongezeko la Models wa video wa video ya
Wimbo huu ambayo itafanyika tarehe
13 na 14 hapa jijini Mbeya chini ya Kampuni mbili za ambazo
ni Disturbing Tzee Video Company na Mashada Inc Videoz

Kama wewe ni model na ungependa kushriki katika hizi video 2
waweza kuwacheki watu wafuatao
http://www.facebook.com/Doctorfazi - 0652384615,
au http://www.facebook.com/Concluder- 0654079930
au http://www.facebook.com/producerlosso -0768540772

Akiongea na Mwandishi wa Blog hii kiongozi kwa kundi hilo aitwaye
Doctor Fazi amesema ktk video hii watashirikishwa Ma Djz na
Watangazajiwa Redio zote za Green City pia Wadau wa 5
 wanaosapoti mno muziki wa Mbeya, 

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...