MASHADA INC

Thursday, April 10, 2014

EXCLUSSIVE; ANGALIA PICHA 4 ZA CHUMBANI ZA SNURA NA Dvj HUNTER WA MAISHA CLUB MBEYA SASA HAKUNA SIRI TENA......

Snura akila raha za Chumbani na Dvj Hunter Wa New Maisha Club Mbeya
Snura Mushi a.k.a Mamaa Majanga amezama katika penzi zito na Dvj Hunter wa New Maisha Club jijini Mbeya. Snura ambaye yuko jijini Mbeya aliudhihirishia uma kuwa yeye na Dvj Hunter ni wapenzi alipofanyiwa interview na Smart B ambaye ni presenter wa Mbeya FM radio, katika kujibu maswali ya Smart B, Snura alisema 'Hakuna siri tena Hunter ni Mchumba wangu, Nampenda sana hivyo Mbeya mtaniona sana, huku sina show ila nimekuja kwa baby wangu' 
Mabusu teleeeeeeeeeeeee hapa Snura akipata Mahaba ya Dvj Hunter 
Baada ya kumaliza mazungumzo na Snura mtangazaji(Smart B wa Mbeya FM) aliamua kumtafuta Dvj Hunter ili kuhakiki maneno ya Snura, Dvj Hunter alimjibu kwa sauti ya uchovu akisema 'Ni kweli, Mama yenu huyo na niko nae hapa kama vip tuache tupumzike'.
Mpaka sasa Snura yuko jijini Mbeya ambako amemfuata mchumba wake Dvj Hunter wa Maisha Club Mbeya.

Snura akiwa Chumbani na Dvj Hunter
Kama Haitoshi Dvj hunter amepost picha yake ya chumbani na Snura facebook, Instagram na Twitter na kuandika 'Penzi Kikohozi kulificha Huwezi'
Cheki jicho hilooooo...............
                                                BONYEZA HAPA NA LIKE PAGE YETU


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...